natafuta girlfriend,... Age30 to 45

natafuta girlfriend,... Age30 to 45

pisces

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
240
Reaction score
61
awe anajishughulisha,i.e. Biashara au kazi... Asiwe muongo,sichagui dini,kabila,rangi,wala utaifa,, awe tayari kupima..... Me ni muajiriwa.... Nakaribisha maombi...
 
Duu mkuu girl friend miaka 30?? Mie nlijua msichana mwisho miaka 24,kumbe hata miaka 45 bado ni binti
 
Kila la kheri,wa umri huo huwa watulivu na walishamaliza mambo ya ujana,mwombe mungu akupatie wa kufanana nawe!
 
mie nna 48, we una miaka mingapi?

Point of correction
sio girlfriend ni womanfriend.
 
yani miaka 30 hadi45 unasema girlfriend? huyo sio girlfriend ni woman-friend...may be thts the reason huna mtu mpk sasa ujaribu kubadilisha mtazamo..wao kwa umri huo wao wanaota ndoa,familia na watoto kila wakilala afu we unaita girlfriend..so wakikutana na mtu kama wewe wanahisi ni sawa na kupoteza muda so hawakupi hata chance...
 
Humu unaweza ukachelewa mkuu! Kwa umri huo wa 40 somethin' kwa haraka si m'pm Anna Makinda yuko free ! Ukitaka username yake ni'pm ntakupa bila gharama!
 
hio title iko sahihi... girfriend... Ni sawa kabisa....
 
awe anajishughulisha,i.e. Biashara au kazi... Asiwe muongo,sichagui dini,kabila,rangi,wala utaifa,, awe tayari kupima..... Me ni muajiriwa.... Nakaribisha maombi...

Wewe mwenyewe jinsia gani? umri wako?

Mbona umechelewa hvyo brother?
 
Back
Top Bottom