Kwahiyo bora usijitambue kwasababu ukijitambua unaweza ukatumia vibaya mazuri yako????
Alafu swala la kusifiwa na kujitambua vinahuasiana vipi???Maana nzima ya kujitambua ni wewe mwenyewe kujijua ni nani/uko vipi n.k bila kutegemea mtazamo wa watu wengine.