Natafuta girlfriend niko serious.......

nakubali lazima ujitambue but sio kutumia vibaya uzuri wako au kujisifia,wengine wamejitambua na kuharibika ktk kujitambua.
 
mbona umri hujaanisha, dini. unatukwaza wenzio
 
bado hujapata PM zakupata gf wako? Kama bado nimwambie bek3 wa jirani yangu hapa achangamkie hii mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…