Natafuta girlfriend niko serious.......

Natafuta girlfriend niko serious.......

Kwahiyo bora usijitambue kwasababu ukijitambua unaweza ukatumia vibaya mazuri yako????

Alafu swala la kusifiwa na kujitambua vinahuasiana vipi???Maana nzima ya kujitambua ni wewe mwenyewe kujijua ni nani/uko vipi n.k bila kutegemea mtazamo wa watu wengine.
nakubali lazima ujitambue but sio kutumia vibaya uzuri wako au kujisifia,wengine wamejitambua na kuharibika ktk kujitambua.
 
Una hii kitu wewekijana??
download
 
mbona umri hujaanisha, dini. unatukwaza wenzio
 
bado hujapata PM zakupata gf wako? Kama bado nimwambie bek3 wa jirani yangu hapa achangamkie hii mambo.
 
Back
Top Bottom