Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Marahaba mjukuuBibi KIZEE hujambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba mjukuuBibi KIZEE hujambo?
Tabulele 😂😂😂120 cm duh
😂Sipati pichaTabulele 😂
120cm!?? Si ni tindo hiyo.....Habarini wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.
Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio kuweka wigi pia awe na upendo wa dhati na kuheshimu, sijali dini wala level ya elimu, mkoa wowote
Kila la kheri Mr.Tu2Habarini wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.
Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio kuweka wigi pia awe na upendo wa dhati na kuheshimu, sijali dini wala level ya elimu, mkoa wowote
Tindo unatajwa na Mtoto ya Mtu huku.120cm!?? Si ni tindo hiyo.....
We tuliza mawese😂Sipati picha
120 cm kivipi🤣🤣🤣sicheki mimiWe tuliza mawese
Ndio maana mimi nimeamua kufunga ndoa na vinywaji changamshi😅Na wakiingia kwenye mapenzi wanapigwa na vitu vizito vizito
Uko wapi tuchangamke woteNdio maana mimi nimeamua kufunga ndoa na vinywaji changamshi😅
Haya mambo ya pesa umeanza lini na wewe kpnzMiaka 23 unatafuta gf mtandaoni, una pesa?
Nataka nile nyama yenyewe nimezichoka b29Mbona bado kijana mdogo au sabuni imekuchosha
Ushampata wa kukugegedua?Marahaba mjukuu
Angekua mrefu kidogo jaman 😹😹Kwa heshima na upendo wa dhati, kama vigezo na masharti haya yamekugusa, tafadhali jitokeze! Ila ukikutana na Tumbili wa mjini , kumbuka kuinama kidogo ili muangaliane vizuri uso kwa uso."
😂
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣kama ndo 120 cm mbn mfupi sana