ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
120cm wewe mtu au kigoda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
120cm wewe mtu au kigoda?
Sawa mdogo wngNataka nile nyama yenyewe nimezichoka b29
120cm wewe ni mfupi! Ina maana huko uliko hawapo au wewe ni domo zege? Tumbili ulikosea kuja mjini!Habarini wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.
Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio kuweka wigi pia awe na upendo wa dhati na kuheshimu, sijali dini wala level ya elimu, mkoa wowote
Mimi nina miaka 31, labda nikulee kijana wangu.
120cm wewe mtu au kigoda?
Tutaleana kwakua na mimi ninakipato kizuriMimi nina miaka 31, labda nikulee kijana wangu.
Natafuta wa mtandaoni120cm wewe ni mfupi! Ina maana huko uliko hawapo au wewe ni domo zege? Tumbili ulikosea kuja mjini!
Msaidie mjukuu apunguze upwiruUmepata.
Bibi yako huyo minyege imekupandaNjoo inbox tuyajenge dear
😅😅😅 Vijana watajikuta wanabaka hawaMsaidie mjukuu apunguze upwiru
Si akanunue buku 2 pale😅😅😅 Vijana watajikuta wanabaka hawa
Zile za buku 2 huwa zinaongeza ganzi.. labda kama ya kulala nayoo.. na tena za kulala nazo unakata ganzi hata mwezi.. maana wale unawafanya Kila unachotaka.. unahakikisha Kila ganzi wameondoaSi akanunue buku 2 pale
Upwiru oyeeeeZile za buku 2 huwa zinaongeza ganzi.. labda kama ya kulala nayoo.. na tena za kulala nazo unakata ganzi hata mwezi.. maana wale unawafanya Kila unachotaka.. unahakikisha Kila ganzi wameondoa
andunje hata ft 4 huna!urefu wangu ni 120cm
Sema wewe kilaza hujui hesabu, kàma hukumbuki ndo useme una 120 cm yaani kimo cha mbuzi?Urefu nilikosea sikumbuki vizuri
Wale hawafai Mimi nataka nile kitu yenyewe bila mpiraZile za buku 2 huwa zinaongeza ganzi.. labda kama ya kulala nayoo.. na tena za kulala nazo unakata ganzi hata mwezi.. maana wale unawafanya Kila unachotaka.. unahakikisha Kila ganzi wameondoa
Kilaza ni wewe! Niliandika cm badala ya futiSema wewe kilaza hujui hesabu, kàma hukumbuki ndo useme una 120 cm yaani kimo cha mbuzi?
Kuna Uber moja nilikodi kulala nayo , nilikaa karibia miezi miwili Sina feelings ya kunjunja 😅😅 Ile Uber ilikuwa na baraaa.. sema nilipoteza namba zake miaka miwili Sasa sijui mitatuUpwiru oyeeee