Natafuta Google Developer Console

Natafuta Google Developer Console

Wanaziuza kwa watu wanaokiuka taratibu za Play, malware na ushenzi mbalimbali, kama unafuata taratibu za Play Google hawajakaza kihivyo juzi juzi tu nimemsaidia mtu kufungua account na kupublish bila tatizo kwa fee yao ya kawaida tu.

Kama una ndoto za kutoa app yoyote Play huko mbeleni uziuze account wakienda kupigwa ban mbele na wewe unaweza kula ban kama "associated" developer, ban ya Play ni ya kudumu kwa maisha.
 
Wanaziuza kwa watu wanaokiuka taratibu za Play, malware na ushenzi mbalimbali, kama unafuata taratibu za Play Google hawajakaza kihivyo juzi juzi tu nimemsaidia mtu kufungua account na kupublish bila tatizo kwa fee yao ya kawaida tu.

Kama una ndoto za kutoa app yoyote Play huko mbeleni uziuze account wakienda kupigwa ban mbele na wewe unaweza kula ban kama "associated" developer, ban ya Play ni ya kudumu kwa maisha.
Sidhani kama ipo hivyo..
kwa mfano mm nina account jsgdfytt@gmail.com nikaiuza ikapigwa ban.

siku nikinunua/fungua nyingine labda tuiite vxqwtags@gmail.com nitakuwa associated vipi na ile ya mwanzo
 
mwenye google console aje 0677 818283
OFAA KABAMBE NANUNUA
 
Ninayo ya miaka 8, mnazitakia nini? Ni sababu ya hizo page zinazokuwa reject na hiyo report?
kama huna matumizi nayo uza kwa pesa nzuri 800,000 mpka 2,000,000

zipo ambazo zinanunuliwa mpka 3,000,000
 
Sidhani kama ipo hivyo..
kwa mfano mm nina account jsgdfytt@gmail.com nikaiuza ikapigwa ban.

siku nikinunua/fungua nyingine labda tuiite vxqwtags@gmail.com nitakuwa associated vipi na ile ya mwanzo
Wanatumia njia tofauti kukulink hawategemei email tu, njia kamili ni siri yao ila kuna obvious things kama payment account ukitumia kadi ile ile, app zenyewe na signature zake, kuna watu wanasema hadi IP Address ila hili sidhani maana IP sio unique kihivyo.
 
Wanatumia njia tofauti kukulink hawategemei email tu, njia kamili ni siri yao ila kuna obvious things kama payment account ukitumia kadi ile ile, app zenyewe na signature zake, kuna watu wanasema hadi IP Address ila hili sidhani maana IP sio unique kihivyo.
Google ana data za kila mtu atashindwaje kukujua? Wakiamua wanajua hata unafanya nn now
 
sasa boss unapewa hela halafu unasema mtu tapeli ...si biashara boss wew ulitaka akupe ngapi..?
policy za google Zimebadilika...kwa maana hiyo zina athiri kutengeneza account mpya...

walio na za zamani wanapeta tu kwa sasa

jamani mwenye console anicheki tuyajenge 0677 818283
Utapeli tu. Mtu unamwambia aweke hela anaanza uswahiku, sasa kama sio utapeli ni nn?

Ww ndo una shida so weka hela upewe account.
 
Utapeli tu. Mtu unamwambia aweke hela anaanza uswahiku, sasa kama sio utapeli ni nn?

Ww ndo una shida so weka hela upewe account.
mlikukutana ana kwa ana au online tu..
ila mkuu kutransfer account kuna process za kubadili details.

Tuwasiliane, tukutane kama account ina sifa nzuri nainunua.
ofisi yangu ipo mwenge
0677 818283
 
IMG_20240825_130744.png

Natafuta mtu anayemiliki app iliyopo playstore ili aniuzie google console yake kwa milioni 2 (2,000,000).💲💲

Ikiwa utaniunganisha na mmiliki wa console na akaweza kuniuzia nitakupatia laki 1 (100,000) 🤑🤑🤑
☎️👉 0677 818283
 
Sidhani kama ipo hivyo..
kwa mfano mm nina account jsgdfytt@gmail.com nikaiuza ikapigwa ban.

siku nikinunua/fungua nyingine labda tuiite vxqwtags@gmail.com nitakuwa associated vipi na ile ya mwa

Wanatumia njia tofauti kukulink hawategemei email tu, njia kamili ni siri yao ila kuna obvious things kama payment account ukitumia kadi ile ile, app zenyewe na signature zake, kuna watu wanasema hadi IP Address ila hili sidhani maana IP sio unique kihivyo.
Ongezea,
1. Ukitumia same device & browser
2. Ukitumia same signing keys
3. Same source code za app
4. Same phone number ya verification of email au 2 factor authentication


In short ukipigwa ban anza upya kwanzia computer ya development au ubadili OS pia ubadili na information za ku create account pamoja na payment method.
 
Hata BTC na Ethereum zilianza hivi hivi kwa watu kuzidharau digital coin, digital coin zikionekana ni utaahira!

Hizi fursa huwa zinaonwa na wachache sana

Tuendako watakuja-kutafutwa hata wamiliki wa Blogspot kuuza domain za Blogger kwa bei ya Juu!... maana ni Mali ya Google

Tec inaenda Kasi sana ..usikubali kuachwa nyuma ya wakati!
 
Ongezea,
1. Ukitumia same device & browser
2. Ukitumia same signing keys
3. Same source code za app
4. Same phone number ya verification of email au 2 factor authentication


In short ukipigwa ban anza upya kwanzia computer ya development au ubadili OS pia ubadili na information za ku create account pamoja na payment methodN
Na ukifungua console account saiv inahitajika ku verify ID & Adress proof.
 
Back
Top Bottom