Natafuta Guest House inayoanzia 10,000-20,000 Dodoma Mjini

Natafuta Guest House inayoanzia 10,000-20,000 Dodoma Mjini

Mgimilamaganga

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2019
Posts
271
Reaction score
260
Habari za muda huu wana JF,


Bila kupoteza muda,siku ya Ijumaa natarajia kuanza safari ya kutoka Dar Es Salaam kuelekea Katavi kwa shughuli binafsi na natarajia kupita DODOMA kwa mara ya kwanza. Hivyo nitapumzika hapo mjini angalau kwa usiku mmoja kwa ajili ya kutalii kidogo kisha nitaendelea na safari.


Sasa naomba kujulishwa jina na mahali ambapo naweza kupata chumba cha kulala kwa bei ya 10,000-20,000 karibu na stendi kuu na usalama uwe wa uhakika.

Pia,pawe na utulivu na pasiwe na wanawake wa kujiuza.


Wenyeji wa Dodoma msaada tafadhali.
 
Duh ile stand ya nane nane palivyo sijapata picha hizo gest zake zitakuwaje?
 
Wakati huu wa bunge tegemea kulala nje Dodoma. Gest huwa zinajaa. Hata zile za book kumi kumi huwa ni shida kupata. By the way, ulizia lodge inaitwa Kivukoni iko hapo Emausi ya kwanza. Wa boda boda watakufikisha.
 
Wakati huu wa bunge tegemea kulala nje Dodoma. Gest huwa zinajaa. Hata zile za book kumi kumi huwa ni shida kupata. By the way, ulizia lodge inaitwa Kivukoni iko hapo Emausi ya kwanza. Wa boda boda watakufikisha.
Gharama ya chumba vipi?
 
Habari za muda huu wana JF,


Bila kupoteza muda,siku ya Ijumaa natarajia kuanza safari ya kutoka Dar Es Salaam kuelekea Katavi kwa shughuli binafsi na natarajia kupita DODOMA kwa mara ya kwanza. Hivyo nitapumzika hapo mjini angalau kwa usiku mmoja kwa ajili ya kutalii kidogo kisha nitaendelea na safari.


Sasa naomba kujulishwa jina na mahali ambapo naweza kupata chumba cha kulala kwa bei ya 10,000-20,000 karibu na stendi kuu na usalama uwe wa uhakika.

Pia,pawe na utulivu na pasiwe na wanawake wa kujiuza.


Wenyeji wa Dodoma msaada tafadhali.
Fanya booking NAAM Hotel iko Area C - 0625657927
 
Utalala stend vyumba bei juu sana,kati ya sehemu ambazo huwa sipendi kulala ni pamoja na dodoma
 
Back
Top Bottom