Natafuta Guest House inayoanzia 10,000-20,000 Dodoma Mjini

Natafuta Guest House inayoanzia 10,000-20,000 Dodoma Mjini

Wengi mmejikita kwenye kigezo cha bei na jina LA lodge mkasahau sharti LA msingi LA mtoa mada 'Pasiwe na wanawake wanaojiuza' nikabaini kumbe kigezo cha msingi ni wanawake wanaojiuza. Mtu asiyekuwa na shida nao huwa haangaiki nao, mtoa hoja anawatafuta kwa kunena kinyume chake hivyo muelekezeni walipo
Habari za muda huu wana JF,


Bila kupoteza muda,siku ya Ijumaa natarajia kuanza safari ya kutoka Dar Es Salaam kuelekea Katavi kwa shughuli binafsi na natarajia kupita DODOMA kwa mara ya kwanza. Hivyo nitapumzika hapo mjini angalau kwa usiku mmoja kwa ajili ya kutalii kidogo kisha nitaendelea na safari.


Sasa naomba kujulishwa jina na mahali ambapo naweza kupata chumba cha kulala kwa bei ya 10,000-20,000 karibu na stendi kuu na usalama uwe wa uhakika.

Pia,pawe na utulivu na pasiwe na wanawake wa kujiuza.


Wenyeji wa Dodoma msaada tafadhali.
 
Habari za muda huu wana JF,


Bila kupoteza muda,siku ya Ijumaa natarajia kuanza safari ya kutoka Dar Es Salaam kuelekea Katavi kwa shughuli binafsi na natarajia kupita DODOMA kwa mara ya kwanza. Hivyo nitapumzika hapo mjini angalau kwa usiku mmoja kwa ajili ya kutalii kidogo kisha nitaendelea na safari.


Sasa naomba kujulishwa jina na mahali ambapo naweza kupata chumba cha kulala kwa bei ya 10,000-20,000 karibu na stendi kuu na usalama uwe wa uhakika.

Pia,pawe na utulivu na pasiwe na wanawake wa kujiuza.


Wenyeji wa Dodoma msaada tafadhali.
Naona watu wanakupoteza hapa. Kuna fact zifuatazo unatakiwa uzijue kuhusu Dodoma;
1. Stand ilipo hakuna guest hata moja iko nje ya mji.
2. Kutoka stand ilipo kwenda mjini katikati ni umbali wa dak 30 hadi 45 kwa daladala za kawaida.

Hivyo kwa maana hiyo mtu akikutajia guest ambayo iko karibu na stand anakudanganya.

Unachotakiwa kufanya. Ukifika stand kuu Dodoma waambie wakushushe mjini (Makole au CBE, ukishashushwa hapo kuna ofisi nyingi za mabasi ya kwenda Mwanza ambayo asubuhi hata usipoenda stnd kuu unaweza pandia hapo, watakupa maelekezo.

Pia hapo hapo maeneo hayo luna guest nyingi sana ambazo zitakuwa za karibu na bei yeyote utakayotaka.

Angalizo: maeneo haya pia ndio Bunge lipo, so kunauwezekano pamejaa sana lakini ukifika mapema ni rahisi kupata sehemu nzuri na ya na ya bei unayotaka wewe.
 
Mtu anayeulizia bei za vyumba vya kulala namfananisha na mtu anayeingia hotel na kuanza kuuliza @ misosi na bei zake..hD soda atauliza..kwahyo ukiniletea ugali mboga mbog na soda inakuwa sh ngap🤔🤔!heee hapa soda mnauza 700???🤔🤔!
 
Naona watu wanakupoteza hapa. Kuna fact zifuatazo unatakiwa uzijue kuhusu Dodoma;
1. Stand ilipo hakuna guest hata moja iko nje ya mji.
2. Kutoka stand ilipo kwenda mjini katikati ni umbali wa dak 30 hadi 45 kwa daladala za kawaida.

Hivyo kwa maana hiyo mtu akikutajia guest ambayo iko karibu na stand anakudanganya.

Unachotakiwa kufanya. Ukifika stand kuu Dodoma waambie wakushushe mjini (Makole au CBE, ukishashushwa hapo kuna ofisi nyingi za mabasi ya kwenda Mwanza ambayo asubuhi hata usipoenda stnd kuu unaweza pandia hapo, watakupa maelekezo.

Pia hapo hapo maeneo hayo luna guest nyingi sana ambazo zitakuwa za karibu na bei yeyote utakayotaka.

Angalizo: maeneo haya pia ndio Bunge lipo, so kunauwezekano pamejaa sana lakini ukifika mapema ni rahisi kupata sehemu nzuri na ya na ya bei unayotaka wewe.
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi murua
 
Mtu anayeulizia bei za vyumba vya kulala namfananisha na mtu anayeingia hotel na kuanza kuuliza @ misosi na bei zake..hD soda atauliza..kwahyo ukiniletea ugali mboga mbog na soda inakuwa sh ngap[emoji848][emoji848]!heee hapa soda mnauza 700???[emoji848][emoji848]!
Ni vema kuuliza kuliko kuingia kichwakichwa tu.
 
Unaenda Katavi bilashaka ni Mpanda then ukapumzike Dodoma! Kwann usipimzike Tabora kwasabb unaweza kujikuta unalala tena Tabora kwasabb kutoka dom mpaka Tabora utafika mchana sana hakutakuwa na Gari la kukufanya uendelee na safari! Ushauri wangu kapumzike Tabora
 
Unaenda Katavi bilashaka ni Mpanda then ukapumzike Dodoma! Kwann usipimzike Tabora kwasabb unaweza kujikuta unalala tena Tabora kwasabb kutoka dom mpaka Tabora utafika mchana sana hakutakuwa na Gari la kukufanya uendelee na safari! Ushauri wangu kapumzike Tabora
Asante kwa ushauri mzuri lakini lengo kuu la kupumzika Dodoma ni la kiutalii zaidi,ili nipate cha kusimulia siku za usoni.
 
Nilifikia hapa,shukrani kwa aliyenielekeza,kwa kweli ni nyumba bora ya kulala wageni.
IMG_20190526_093124.jpeg

Lakini bei ni Tsh.25,000 na si 15,000.
 
Naona watu wanakupoteza hapa. Kuna fact zifuatazo unatakiwa uzijue kuhusu Dodoma;
1. Stand ilipo hakuna guest hata moja iko nje ya mji.
2. Kutoka stand ilipo kwenda mjini katikati ni umbali wa dak 30 hadi 45 kwa daladala za kawaida.

Hivyo kwa maana hiyo mtu akikutajia guest ambayo iko karibu na stand anakudanganya.

Unachotakiwa kufanya. Ukifika stand kuu Dodoma waambie wakushushe mjini (Makole au CBE, ukishashushwa hapo kuna ofisi nyingi za mabasi ya kwenda Mwanza ambayo asubuhi hata usipoenda stnd kuu unaweza pandia hapo, watakupa maelekezo.

Pia hapo hapo maeneo hayo luna guest nyingi sana ambazo zitakuwa za karibu na bei yeyote utakayotaka.

Angalizo: maeneo haya pia ndio Bunge lipo, so kunauwezekano pamejaa sana lakini ukifika mapema ni rahisi kupata sehemu nzuri na ya na ya bei unayotaka wewe.
I reserve this comment,itanifaa siku za baadae ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom