FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
mmmh mimi hapa ni pm firslady usiogope shosti
mashost wa ukweli hatupotezani kumbuka
Mie namjua mmoja ila namba nimesahau yuko pale Mbuyuni (Dar) Clinic yake inaitwa (Maria Clinic)
Habari za mihangaiko wapendwa
Please naomba kama kuna Gynecologist hapa JF ani PM namba yake niwasiliane nae
ama kama kuna mtu anamfahamu yeyote mzuri na ana contact zake please anisaidie
..
Sijapenda kuweka swali langu hapa barazani..
Wenu mtiifu FL !
:A S-coffee:
Habari za mihangaiko wapendwa
Please naomba kama kuna Gynecologist hapa JF ani PM namba yake niwasiliane nae
ama kama kuna mtu anamfahamu yeyote mzuri na ana contact zake please anisaidie
..
Sijapenda kuweka swali langu hapa barazani..
Wenu mtiifu FL !
:A S-coffee:
Ngoja nikuPM unipe dili hili fasta
Kumbe wewe ni mtiifu au kwa sababu....
Habari za mihangaiko wapendwa
Please naomba kama kuna Gynecologist hapa JF ani PM namba yake niwasiliane nae
ama kama kuna mtu anamfahamu yeyote mzuri na ana contact zake please anisaidie
..
Sijapenda kuweka swali langu hapa barazani..
Wenu mtiifu FL !
:A S-coffee:
FL sio vizuri kusema Daktari mzuri, as long as has the right qualification. It is unethical kwenye udaktari mmoja kujitambulisha kama ni mzuri zaidi ya wengine ndio maana unaona madaktari wa "ukweli" hawana matangazo. Nimekuelewa unachomaanisha , lakini neno zuri ni kusema daktari mwenye uzoefu. Daktari kupewa degree na leseni ya kupractice ndio uzuri wenyewe huo.
Back to your request ; miongoni mwa madaktari bingwa wenye uzoefu mkubwa katika field ya Gynae&Obstretic nao wafahamu mimi ni (in no particular order)
1. Dr.ShafiQ- Agakhan
2. Dr. Kapona -Muhimbili na pia private clinic Tabata (kama sikosei)
3. Prof. Mgaya -Muhimimbili
4. Dr. Muganyizi- Muhimbili
Kuna Dr. Floribert Ngabu yupo pale Kisesa, namba yake ya simu 784 8402525
huwa naifanya hiyo kazi part time
tena bure kabisaa lol
FL sio vizuri kusema Daktari mzuri, as long as has the right qualification. It is unethical kwenye udaktari mmoja kujitambulisha kama ni mzuri zaidi ya wengine ndio maana unaona madaktari wa "ukweli" hawana matangazo. Nimekuelewa unachomaanisha , lakini neno zuri ni kusema daktari mwenye uzoefu. Daktari kupewa degree na leseni ya kupractice ndio uzuri wenyewe huo.
Back to your request ; miongoni mwa madaktari bingwa wenye uzoefu mkubwa katika field ya Gynae&Obstretic nao wafahamu mimi ni (in no particular order)
1. Dr.ShafiQ- Agakhan
2. Dr. Kapona -Muhimbili na pia private clinic Tabata (kama sikosei)
3. Prof. Mgaya -Muhimimbili
4. Dr. Muganyizi- Muhimbili