Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo utapata tu hata za kichina tafuta hapa dar wapo dealer kibaona mimi nitazipata hizo pesa nkimaliza kazi yangu ya Ukarani wa sensa 😀😀
Kwani wewe ni UVCcm ?na mimi nitazipata hizo pesa nkimaliza kazi yangu ya Ukarani wa sensa 😀😀
sh ngapiBongo utapata tu hata za kichina tafuta hapa dar wapo dealer kibao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na mimi nitazipata hizo pesa nkimaliza kazi yangu ya Ukarani wa sensa [emoji3][emoji3]
Habari ya muda huu wana Jamiiforums, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza., nahitaj kufahamishwa ni maduka gani/wapi naweza pata hizi kofia kwa hapa Tanzania. View attachment 2301477