Natafuta internship au kazi Electrical Engineering

Natafuta internship au kazi Electrical Engineering

Marianzowa

New Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
3
Reaction score
0
Habarini!!
Nimesoma bachelor degree in Electrical Engineering pia nina diploma,pia nina leseni class C Electrical installation natafuta kampuni ya kufanya nae kazi ninaomba msaada wa internship au kazi
Namba:0762136488 au
missnzowatwb@gmail.com
 
Tumia lessen yako hiyo ya Class C kufungua office yako ya installation! Usiwaze kuhusu swala la mtaji! Nenda hapo wilayani kwako kwenye office za Tanesco! Ongea na meneja atakupa muongozo, atakuunganisha na mactroctor wanaohusika na umeme!! Utafanya kazi nao!! Kumbuka hakuna nyumba inayoweza kufanyiwa installation bila mhuri wako!!!
 
Tumia lessen yako hiyo ya Class C kufungua office yako ya installation! Usiwaze kuhusu swala la mtaji! Nenda hapo wilayani kwako kwenye office za Tanesco! Ongea na meneja atakupa muongozo, atakuunganisha na mactroctor wanaohusika na umeme!! Utafanya kazi nao!! Kumbuka hakuna nyumba inayoweza kufanyiwa installation bila mhuri wako!!!

Tumia lessen yako hiyo ya Class C kufungua office yako ya installation! Usiwaze kuhusu swala la mtaji! Nenda hapo wilayani kwako kwenye office za Tanesco! Ongea na meneja atakupa muongozo, atakuunganisha na mactroctor wanaohusika na umeme!! Utafanya kazi nao!! Kumbuka hakuna nyumba inayoweza kufanyiwa installation bila mhuri wako!!!
Asante sana
 
Back
Top Bottom