The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
tangu umeweka neno kuimba im out..
maana mi nikiimba nzi wanacheza...
mmmhhhhh please turn 360 degrees ...
mmmhhhhh please turn 360 degrees ...
i think i will have to find my radius first
Fataka mwanaharamu weeeeee
I see!!!!!!!!!!
hahahah lol haya mkuu..
Naona umeamuwa kuwa wa jango...
Nimeipenda hiyo avatar yako...
avatar? Am now the king of my myself!
hahaha lol...
Unajua simba dume wanaogopa sana simba jike hahah lol
im just saying lol
but at the end of the day simba jike ana zaa l.o.l
tena simba jike wakiwa na watot ndo hasira masaa yote..
Kaa mbali hahahah lol
Jamani natafuta kabinti kadogo, kateke, english medium, dot. com ambacho kitakuwa kinaniliwadha kwa kuniimbia nyimbo za blues na swagga za kudeka deka hivi na kunitania tania na vijimambo vingine kama kuni-facebook n.k ila sio kuchakachuana
Sina nia mbaya ni kutaka tu kujifurahisha mtima wangu na kupunguza stress za maisha ila narudia tena kuchakachuana NO
akiwa na mtoto thamani inapungua na dume nae anaenda zake kutafuta totoz
kwahiyo hasira zake ni defensive tu! L.o.l
haya tena unataka kusema hata hata simba wana open relation hahahha lol...
yeah but its more one sided...
Ndo maana unaweza kukuta kundi kuuubwa la majike lina ongozwa na just one male lion
na simba mwingine dume akisogea hapakaliki
hahahahh lol
every thing make sense now lol
ndo maana ukaamua kuwa king of the jungle ajili hiyo lol
i have these crazy ideas to rule the world one day.....l.o.l
hahahah lol
is not crazy at all..
Ilimradi tu usichukue za hitla utafanikiwa hahahahah lol
who rule yours?