kama hauna dhamana you better call for partnership.Kvp yan mm nina badilisha nataka pesa za kuongezea mtaji ni mdogo
Hapo umeelewekaKvp yan mm nina badilisha nataka pesa za kuongezea mtaji ni mdogo
Karne hii ambayo vijana hamuogopi madeni mtu akupe hela kwa namna hii unavyojieleza kweli? Ndiyo maana hata serikali inawaambia muwe kwenye makundi hamfai kabisaWadau nina shida na hela kama milioni 3 kwaajili ya kuendesha biashara yangu ya kubadilisha fedha za kigeni yani kwacha kuwa tsh nlikua naomb kujua kampuni yenye uwezo wa kunisaidia hiyo hela ila sina kitu cha kuweka dhamana yan sina hata kiwanja natokea songwe tunduma.
Chakufanya jipange angalau upate kiwanja, then unaweza kukitumia kupata mkopoWadau nina shida na hela kama milioni 3 kwaajili ya kuendesha biashara yangu ya kubadilisha fedha za kigeni yani kwacha kuwa tsh nlikua naomb kujua kampuni yenye uwezo wa kunisaidia hiyo hela ila sina kitu cha kuweka dhamana yan sina hata kiwanja natokea songwe tunduma.