Graxsam
Member
- Sep 23, 2021
- 83
- 94
Wadau nina shida na hela kama milioni 3 kwaajili ya kuendesha biashara yangu ya kubadilisha fedha za kigeni yani kwacha kuwa tsh nlikua naomb kujua kampuni yenye uwezo wa kunisaidia hiyo hela ila sina kitu cha kuweka dhamana yan sina hata kiwanja natokea songwe tunduma.