Arista
Senior Member
- Feb 25, 2018
- 138
- 103
Wapendwa wanajamii natafuta kampuni/ mtu binafsi mwenye mabasi ya kutoka Dar kuja mikoani nimwonesha route mpya ambayo itamlipa haswaa na haijagunduliwa na wajanja wengine,inahitaji basi mbili tu zitakazopishana kila siku,ukiwahi nina imani hakuna atakayeleta mwingine maana si route ya magari mengi ila kwa basi mbili inalipa haswaa.Tuwasiliane 0622 296251.