Hii ikoje mzeya?Nenda NMB siku hizi wanakopesha Bajaj.
Ukipta na mie nitonye mzeyaJamani wadau naomba kwa mtu yeyote anayejua zile kampuni zinazokopesha bajaji na kurudisha kwa siku aniunganishe nao.
Nipo Morogoaro
Si kwa vikundi au hata binafsiNmb, maendeleo bank na crdb wanakopesha
Hiyo ipo mkuu ngoja nikupe namba uwasiliane naoJamani mimi natafta wanaokopesha pikipiki tu
Mkuu kule wanakopesha kwa vikundi au hata binafsiNENDA BENKI KAMA CRDB NA UCHUMI BENK HUWA WANAKOPESHA BAJAJI.
Mkuu kule wanakopesha kwa vikundi au hata binafsiNENDA BENKI KAMA CRDB NA UCHUMI BENK HUWA WANAKOPESHA BAJAJI.
0800750228 hao hawazingui mkuu ni wewe na vigezo vyako tuJamani mimi natafta wanaokopesha pikipiki tu
Nimewapigia hawa na wako gud0800750228 hao hawazingui mkuu ni ww na vigezo vyako tu
KwendaaaWewe mtu hata haukumfahamu, akakupa tu bajaji. Ungeanza kwanza na baiskeli ili kujenga imani.