Nitakupaje bei wakati haijulikani unataka kuchimba mita ngapi
Haya ndio maneno tunataka kuona, sio porojo za mwanzo.Kisima kwa jiji la dar
Mita 60-ml 3.5
Mita 80-ml 4
Mita 100-ml 6
Mita 120-ml 7.2
Mita 150- ml 12
Gharama hizi ni kwa kuchimba kisima mpaka pump test.
Tumeondoa gharama za pump ili tukupe uhuru wa kuchagua pamp unayopenda kufuatana na ubora sisi tutakushauri ununue pump ya uwezo gani
Mkuu hivi visima vinatoa maji full year??Mimi nimechimbiwa kisima. Kwanza ilianza survyey kujua kama maji yapo na yapo mbali kiasi gani. Majibu yakaonyesha yapo kuanzia mita 60. Bei ya kuchimba mita moja ilikuwa 60 000. Nikakubali. Akachimba na maji yakapatikana m65. Yakapimwa wingi.kiwango cha chumvi na ubora. Baada ya hapo nikapewa aina za pump na bei zake na kiwango cha ubora. Nikafunga. Dawasco ikawa ni kwaheri.
Kisima kwa jiji la dar
Mita 60-ml 3.5
Mita 80-ml 4
Mita 100-ml 6
Mita 120-ml 7.2
Mita 150- ml 12
Gharama hizi ni kwa kuchimba kisima mpaka pump test.
Tumeondoa gharama za pump ili tukupe uhuru wa kuchagua pamp unayopenda kufuatana na ubora sisi tutakushauri ununue pump ya uwezo gani
nenda pale nyuma ya ubungo maji au pembeni ya chuo cha maji wanaitwa DDCA njia ya kwenda UDSM
au pale kariakoo ilokuwaga stand ya buguruni zamani kuna kampuni inahusika na uchimbaji wa visima, jina nimelisahau.
unaweza ukajaribu kote kulinganisha huduma zao
Nipo pugu kigogo fresh! Nahitaji kampuni ya kunichimbia kisima kirefu. Nijulishe gharama zake. Tuwasiliana no 0718412041
Nitakupaje bei wakati haijulikani unataka kuchimba mita ngapi
Kisima kwa jiji la dar
Mita 60-ml 3.5
Mita 80-ml 4
Mita 100-ml 6
Mita 120-ml 7.2
Mita 150- ml 12
Gharama hizi ni kwa kuchimba kisima mpaka pump test.
Tumeondoa gharama za pump ili tukupe uhuru wa kuchagua pamp unayopenda kufuatana na ubora sisi tutakushauri ununue pump ya uwezo gani
Haya ndio maneno tunataka kuona, sio porojo za mwanzo.
Vipi kwa nje ya Dar mfano ameneo kama Mkuranga au Rufiji mbayo ni pembezoni mwa mto bei zenu zinakuaje maana kuna fununu hauzidi mita hamsini ushakutana na maji
Kuna mchina alituchimbia Kisima pale Pugu Kajiungeni cha mita 80, gharama zake zilikuwa nafuu, nitakutafutia namba yake.
Mwaga bei kwa mita unachimba sh.ngapi acha porojo unapiga picha mashine za watu alafu unaanza porojo!!!na kufanya survey sh. Ngapi???🙁
Kuna jamaa wametoka kunichimbia mita 130 sala sala, nimewapa 7.5 mil. Including pump ya 1.5hp. Nimepata maji mengi sana na masafi sana hayana chumvi. Dawasco bye bye.
nadhani huyu anafaa kwani anasifa za ziada...Baba yangu yuko Mwanza ana kampuni yake inaitwa GEWECO( ground waters and wells construction limited) pia ana masters ya taaluma hii toka Auckland university pala New zealand.
Ana uzoefu wa kutosha na shughuli hizi na bei zake ni nafuu sana kwani anafanya miradi mingi kwa ajili ya manufaa ya jamii. Namba yake ni 0754 593 401.
Kila la kheri wandugu.
Wadau naomba kujua gharama za kufanya survey kwa hapa DSMVipi kule Kibiti, gharama itakuwa kiasi gani?