maringeni
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,197
- 3,896
Mimi nimechimbiwa kisima. Kwanza ilianza survyey kujua kama maji yapo na yapo mbali kiasi gani. Majibu yakaonyesha yapo kuanzia mita 60. Bei ya kuchimba mita moja ilikuwa 60 000. Nikakubali. Akachimba na maji yakapatikana m65. Yakapimwa wingi.kiwango cha chumvi na ubora. Baada ya hapo nikapewa aina za pump na bei zake na kiwango cha ubora. Nikafunga. Dawasco ikawa ni kwaheri.