Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 184
sloam - mbezi makonde kwa nabii eliya ila ujiandae kuacha yote yanayokuponza kufanya dhambi. Mungu akutatangulie
misa ni kila siku saa 11am - 12am ya pili saa 12am - 1am asubuhi zaidi ya hapo kuna maombezi na cancelling siku nzima mpaka saa kumi jioni tena kuna misa mpaka saa mbili usiku. Kauli mbiu yao ni soma neno tenda neno.
Mimi nategemea kuanza kesho 25/1/2012 karibu utafunguliwa
umesahau shika neno
unaweza tenda neno ukalisahau bana lazima ulishike nalipenda lile church sana ana msimamo wa kweli
ingawa wadhambi wanakaaga wanakimbia wakichomwa na mafundisho kisa wanadai jamaa anawasema wao wakati ni moja ya maombezi
Unaishi maeneo gani?
Na staus yako kifedha ikoje?
Maarufu hapa dar
kakobe - walofulia(sinza, karibu na mlimani city)
mwingira - middle klasi(Mwenge???)
kuna fernandes- civilised, sijui location
mzee wa upako - mixer(Ubungo kibangu)
Mch, Mh, Dk rwakatare - matawi ya juu(mikocheni)