Ungekuwa serious ungekapata, kazuri, umekakosa huko mtaani, utakapata huku mtandaoni?Natafuta msichana alye chuo mwaka wa kwanza ambae tutakua wapenzi daima,umri 19-22yrz,kawe keupe,kanene kiasi,karefu kimtindo,macho mazuri,nywele ndefu,kawe kakristo,kawe kasafi ka mwili na tabia,kasiwe kanadeka saana nk.mwenye uhitaj na mim aniPM,only short listed will be contacted.
Hivi Senetor unafikiri watu wote tunajua wewe upo mkoa gani, na unataka huyo 1 year awe anatoka chuo gani? Kiukweli thread yako haijitoshelezi kabisa, fafanua kidogo.Natafuta msichana alye chuo mwaka wa kwanza ambae tutakua wapenzi daima,umri 19-22yrz,kawe keupe,kanene kiasi,karefu kimtindo,macho mazuri,nywele ndefu,kawe kakristo,kawe kasafi ka mwili na tabia,kasiwe kanadeka saana nk.mwenye uhitaj na mim aniPM,only short listed will be contacted.
Kuna thread moja uliandwa kuwa wewe ni afande ukaruka kimanga! Vipi mkuu wewe umejuaje kama Senetor yupo Dsm maana 1 st year kila chuo wapo!hamna ulikokapenda huko o level?au kamekukimbia?mkuu ukikakosa humu jaribu mawindoni.nenda pale duce mida ya saa nne asubuhi.utawakuta pale maeneo ya uwanja wa taifa nbc wakilipia fee ndo utawadaka vizuri.au nenda ladies free pale la MAMBO club jiandae tu na hela ya henken na kuku basi.ukishindwa nipm ntakupa maujanja zaidi.mia
Kuna thread moja uliandwa kuwa wewe ni afande ukaruka kimanga! Vipi mkuu wewe umejuaje kama Senetor yupo Dsm maana 1 st year kila chuo wapo!
Labda ni msukuma tena wa kijijini kabisa ambaye amegoma mabadiliko.hilo neno "ka" kazuri, keupe etc mi nimeiona kua alama ya dharau... mtazamo wangu.
Hivi Senetor unafikiri watu wote tunajua wewe upo mkoa gani, na unataka huyo 1 year awe anatoka chuo gani? Kiukweli thread yako haijitoshelezi kabisa, fafanua kidogo.
Mwambie hawezi kupata msichana wa vigezo alivo taja ambae atakubali kuitwa "kasichana"Labda ni msukuma tena wa kijijini kabisa ambaye amegoma mabadiliko.
Mpumbafu sana wewe kijana....peleka huu ujinga wako Facebook,twitter,Google+ etc ambapo wanafunzi wenzako wa vyuo vya kishenzi vya nchi hii wapo...Huko utapata mpaka na mashoga kama utataka.
Naona Senetor amekujibu haraka sana lakini sisi tumemuuliza maswali mengi tu ameuchuna! Kifupi umenifurahisha sana tehe tehe tehe.Mpumbafu sana wewe kijana....peleka huu ujinga wako Facebook,twitter,Google+ etc ambapo wanafunzi wenzako wa vyuo vya kishenzi vya nchi hii wapo...Huko utapata mpaka na mashoga kama utataka.