Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Samahani kama nitawavuruga vichwa,,ila naomba mnielewe .
Mwez wa 12 nina likizo ya mwez 1 means hadi januari,nataka ndani ya kipindi cha likizo hiyo mpaka shule zinafungua niwe nimeingiza at least laki 3 au 4.Naombeni vibarua hivyo bas wandugu...badala ya kulala tu na kuzunguka mwez mzima nipate pa kuingiza kitu.Hata ukondakta nipige debe nitafanya(serious). Mwalimu from mbeya....karibuni
Mwez wa 12 nina likizo ya mwez 1 means hadi januari,nataka ndani ya kipindi cha likizo hiyo mpaka shule zinafungua niwe nimeingiza at least laki 3 au 4.Naombeni vibarua hivyo bas wandugu...badala ya kulala tu na kuzunguka mwez mzima nipate pa kuingiza kitu.Hata ukondakta nipige debe nitafanya(serious). Mwalimu from mbeya....karibuni