natafuta kaz ndan ya likizo

natafuta kaz ndan ya likizo

Ni mwalimu gan wa kike aanze kucheza mchezo mbaya na mtoto mdogo tena wa primary, yaan watu wana utan sana na kazi au taaluma au malezi ya watu.
Afu nina watoto pia.Ha ha haa,ndo ivo unabaki kucheka
 
KIPINDI CHA LIKIZO

Nafundisha computer kwa wanaoanza; hususan watumishi wa Umma.

Vipengele ninavyofundisha ni;
1. Basic computer operations

2. Microsoft Office

3. Internet and E-mail

4. Mobile & computer interconnections

5. Computer inputs and outputs devices operation

Nafuata nyumbani ama kokote. Kila kipengere ni Shilingi 30,000/=kwa muda wa wiki moja kasoro MICROSOFT OFFICE kwa wiki mbili ambayo ni shilingi 70,000


Kwa mawasiliano zaidi piga 0743123946, 0684436954, Dar es Salaam
 
KIPINDI CHA LIKIZO

Nafundisha computer kwa wanaoanza; hususan watumishi wa Umma.

Vipengele ninavyofundisha ni;
1. Basic computer operations

2. Microsoft Office

3. Internet and E-mail

4. Mobile & computer interconnections

5. Computer inputs and outputs devices operation

Nafuata nyumbani ama kokote. Kila kipengere ni Shilingi 30,000/=kwa muda wa wiki moja kasoro MICROSOFT OFFICE kwa wiki mbili ambayo ni shilingi 70,000


Kwa mawasiliano zaidi piga 0743123946, 0684436954, Dar es Salaam
Safi mkuu
 
Mbeya mbali

Sema Mimi nipo Tanga mkuu nearly to impossible
 
Likizo twende zetu moshi tukanywe mbege na dadii.
 
Back
Top Bottom