M Msumb JF-Expert Member Joined Oct 18, 2022 Posts 3,452 Reaction score 5,372 Nov 20, 2023 #1 Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano. Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara. Natumaini ntapata kazi, Asante π
Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano. Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara. Natumaini ntapata kazi, Asante π
Mgodo visa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2016 Posts 3,590 Reaction score 3,632 Nov 20, 2023 #2 Toto mol said: Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano. Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara. Natumaini ntapata kazi, Asante [emoji120] Click to expand... Hujataja jinsia, ME ama KE. Samahani kwa hili..
Toto mol said: Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano. Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara. Natumaini ntapata kazi, Asante [emoji120] Click to expand... Hujataja jinsia, ME ama KE. Samahani kwa hili..
J John Wickzer Mulholland JF-Expert Member Joined Apr 13, 2023 Posts 6,656 Reaction score 14,403 Nov 20, 2023 #3 Toto mol said: Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano. Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara. Natumaini ntapata kazi, Asante π Click to expand... Kweli kichwani umetulia sawasawa ndugu? Haujavurugwa?
Toto mol said: Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano. Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara. Natumaini ntapata kazi, Asante π Click to expand... Kweli kichwani umetulia sawasawa ndugu? Haujavurugwa?
M Msumb JF-Expert Member Joined Oct 18, 2022 Posts 3,452 Reaction score 5,372 Nov 20, 2023 Thread starter #4 Mgodo visa said: Hujataja jinsia, ME ama KE. Samahani kwa hili.. Click to expand... Me mkuu