Mimi ni mchapakazi, mwaminifu na nisie bagua kazi. Kazi yeyote halali npo tayari kufanya. AsanteOngezea nyama kidogo
Mimi ni mchapakazi, mwaminifu na nisie bagua kazi. Kazi yeyote halali npo tayari kufanya. Asante
Nitumie mawasiliano yako PMHabari,
Mimi ni binti wa miaka 23 naishi Dar es Salaam. Level yangu ya elimu nina degree ya Information systems Management. Npo hapa kuomba kazi yoyote kama vile barista cafe, kuuza duka, kuuza Supermaket, na kazi nyingine yoyote mnayoweza nisaidia.
Asante
Tuna mashamba ya familia.Unaweza kuja upate kaujira kwa kusaidia kilimo?Mimi ni mchapakazi, mwaminifu na nisie bagua kazi. Kazi yeyote halali npo tayari kufanya. Asante
Mimi ni mwanaume, ninaweza pia kufanya hiyo kazi.Tuna mashamba ya familia.Unaweza kuja upate kaujira kwa kusaidia kilimo?
Kila nikijaribu kutuma pm inagoma samahan naomba wasiliana nami kwa email hii kimishalilian@gmail.comNitumie mawasiliano yako PM
🙏Kajaribu bahati
Angalia inbox
Simu yangu haifungui message si kutuma wala kuangalia samahan kama hautojali naomba ni inbox kwa email hii kimishalilian@gmail.comAngalia inbox
Nimekutumia email angaliaSimu yangu haifungui message si kutuma wala kuangalia samahan kama hautojali naomba ni inbox kwa email hii kimishalilian@gmail.com
Update crome yako au browser zote Kwa pamojaSimu yangu haifungui message si kutuma wala kuangalia samahan kama hautojali naomba ni inbox kwa email hii kimishalilian@gmail.com
Sawa asanteUpdate crome yako au browser zote Kwa pamoja
Tatizo la pm kutofunguka litakuwa solved
TayariAngalia inbox