Charlesnbundalah
New Member
- Sep 15, 2022
- 3
- 1
Naweza kufanya kazi kwako vizuri tu coz mimi hata nikipata mtaji wangu haitaathiri kazi yangu coz ninao watu wanaoweza kusimamia bila ya kuwepo mimiUnafanyaje kazi huku Unawaza kuboost mtaji wako inamaanisha kwangu hutodumu na hutofanya kazi kwa moyo
nina mdogo wangu kasomea hiyo fani arusha pale, yeye anaweza suka dred, nywele za kawaida, kupamba maharusi, matatoo na vingine vinginitafute kwa nambari 0748106950 nikuunganishe naeKama unaishi Dar maeneo ya segerea au TABATA and na uko na shinda ya KAZ na wew niwa jinsia ya KE nitafute inbox
Salary 25000-40000 per week baada ya mafunzo
No food ,no transport
Ukiwa na ideas ya ususi ni vizur zaid
Unaweza Fanya kazi ukiwa hata nyumbani kwako after training
KAZI ni yakusimama so Kama afya Yako niyakuunga unga Tulia nyumbani
Wanaohitajika ni wasichana wawili tu