Muddy123
Member
- Nov 6, 2022
- 25
- 16
Naitwa Mudi mkazi wa Mbagala umri mika 30. Natafuta kazi au kibarua cha kufanya popote ndani au nje ya Dar kikubwa iwe ya uhakika na pia nimesomea Ualimu wa Masomo ya Sanaa Geography na History
Niko tayari kwakazi yoyote itakayopatikana iwe ni kiwandani au kampun au shule
Namba yangu ni 0693206150
Niko tayari kwakazi yoyote itakayopatikana iwe ni kiwandani au kampun au shule
Namba yangu ni 0693206150