Sawa, Nina mashamba yangu huku kaliua, muda wa kupanda tumbaku umekaribia, nauli ya kuja juu yako, njoo kiongozi unifanyie kaziAcha kupindisha maelezo.....maudhui kamili nikazi yyte we umeishia kuelewa hapo tu
Mkuu nipe Raman hyo kaz za shambaKumbe unataka vibarua vya kiwandani au shuleni, nilidhani vya shamba, ningekupatia
weka mchanganuo wa maslahi ulivyo, tuvamie shambaSawa, Nina mashamba yangu huku kaliua, muda wa kupanda tumbaku umekaribia, nauli ya kuja juu yako, njoo kiongozi unifanyie kazi
Mtu anaishi mbagala halafu akafanye kazi ya tumbaku?? Huyo unataka kumuua kabisa ndugu.Sawa, Nina mashamba yangu huku kaliua, muda wa kupanda tumbaku umekaribia, nauli ya kuja juu yako, njoo kiongozi unifanyie kazi
hebu ongezea maelezo kidogo mkuu, na sorry pia ''kugema'' ni kufanya nini mkuu?Kuna mchongo wa kwenda kugema gundi huko Iringa wanaabza Mwezi ujao hiyo Kampuni kupokea watu
Huu mchongo umekaaje mkuu...tunaweza kupata mawasilianoKuna mchongo wa kwenda kugema gundi huko Iringa wanaabza Mwezi ujao hiyo Kampuni kupokea watu