Natafuta kazi, civil engineer

Evodia Julius

Member
Joined
Mar 19, 2024
Posts
6
Reaction score
3
Habari za wakati huu ndugu zangu, mimi ni mhitimu wa ngazi ya degree in civil engineering mwaka 2023, natafuta kazi ( ushauri pia napokea)
 
Kuna uzi uliandikwa jana kulikuwa kunahitajika civil engineers wawili wanahitajika waliomaliza 2023 utafute nikuona nitakulink
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…