Natafuta kazi civil engineering technician

Natafuta kazi civil engineering technician

Brightly

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2022
Posts
391
Reaction score
623
Habariii wakuu?

Husika na kichwa hapo juu natafuta kazii katika makampuni yeyote ya ujenzii wa nyumba au barabara nipo tayari kufanya kazi sehemu yeyote.

Mimi ni mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzii Nina uzoefu wa miaka miwilii katika usimamizii wa barabara na ujenzii wa nyumbaa mwenye connection anisaidiee.

Ahsanteni sana.
 
Habariii wakuu?

Husika na kichwa hapo juu natafuta kazii katika makampuni yeyote ya ujenzii wa nyumba au barabara nipo tayari kufanya kazi sehemu yeyote.

Mimi ni mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzii Nina uzoefu wa miaka miwilii katika usimamizii wa barabara na ujenzii wa nyumbaa mwenye connection anisaidiee.

Ahsanteni sana.
KIDT-VTC MOSHI Tunahitaji mwlalimu as Civili kwa wanafunzi wa kozi za VETA TUWASILIANE 0754469894 /0717157640
 
Back
Top Bottom