Natafuta kazi, Elimu Diploma (Animal Health and Production)

Natafuta kazi, Elimu Diploma (Animal Health and Production)

Deus lubona

New Member
Joined
Mar 10, 2021
Posts
4
Reaction score
2
Habarini za humu ndugu zangu,

Naitwa Deus graduate wa diploma ya udactari wa mifugo (Ordinary diploma in animal health and production), nimehitimu mwaka 2019 katika chuo cha mifugo LITA TENGERU ARUSHA (Livestock training agency- TENGERU).

Baada ya hapo nimekuwa nikijitolea kutibu mifugo majumbani kwa watu (ambulatory), ili kuwa na experience zaidi ya kile nilichokisomea kwa miaka yangu ya chuo so, nahitaji kupata kazi ya kudumu ambayo nitaifidika nayo niweke kujikimu kimaisha na kuwa na future nzuri, naamini nikipata kazi katika kampuni, farms mbalimbali binafsi, serikalini, maduka ya dawa za mifugo, Taasisi au Kazi yoyote yenu maslahi mbayo ipo out of my professional nitakuwa nimepiga hatua kubwa sana.

Ahsanteni na siku njema.
 
kama unamtaji jiari fani yako ina hela sana kama utajiajiri, kuliko kupoteza muda kwa kujitolea, kutafuta ajiri. kila la kheri Mungu awe na wewe ufanikiwe kwa kila jambo lako jema.
 
kama upo mkoani iyo professional yako ni pesa tupu mkuu, jichange change nunua chanjo za mifugo na dawa ambazo magonjwa ni common,anza kwa kujitolea kutibu mifugo kwa gharama ndogo tu ambayo itarudisha pesa yako uliyonunulia ili kujenga jina na uaminifu kwa watu,baada ya miezi 4 tu majibu utapata, kuna ndugu yangu yupo huko mtwara ndo shughuli zake na ajaingia mfumo rasmi wa ajira yeye kasoma LITA Morogoro
 
kama upo mkoani iyo professional yako ni pesa tupu mkuu, jichange change nunua chanjo za mifugo na dawa ambazo magonjwa ni common,anza kwa kujitolea kutibu mifugo kwa gharama ndogo tu ambayo itarudisha pesa yako uliyonunulia ili kujenga jina na uaminifu kwa watu,baada ya miezi 4 tu majibu utapata, kuna ndugu yangu yupo huko mtwara ndo shughuli zake na ajaingia mfumo rasmi wa ajira yeye kasoma LITA Morogoro
Nashukuru sana kwa ideal yako boss🙏
 
Back
Top Bottom