Natafuta kazi KAHAMA

Natafuta kazi KAHAMA

Daniel Adrian

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
311
Reaction score
326
Ndugu zangu nipo Kahama hapa mambo yameniendea ovyo kabisa. Nimepoteza mtaji wote katika biashara za kimachinga sina hata nauli ya kurudi Mbeya nilipotoka kuja hapa KAHAMA.

Natafuta kazi yoyote ya halali hapa KAHAMA, niifanye kwa miezi miwili hii, mpaka mwezi wa pili ili angalau nipate nauli nirudi nyumbani.

Nipo hapa MALUNGA karibu na sheli ya Nyarugusu.

Nikipata kibarua chochote ntashukuru sana.
 
Ndugu zangu nipo Kahama hapa mambo yameniendea ovyo kabisa. Nimepoteza mtaji wote katika biashara za kimachinga sina hata nauli ya kurudi Mbeya nilipotoka kuja hapa KAHAMA.

Natafuta kazi yoyote ya halali hapa KAHAMA, niifanye kwa miezi miwili hii, mpaka mwezi wa pili ili angalau nipate nauli nirudi nyumbani.

Nipo hapa MALUNGA karibu na sheli ya Nyarugusu.

Nikipata kibarua chochote ntashukuru sana.
Kahama una muda gani mkuu
 
Nauli ya Mbeya shilingi ngapi chief ? Mitaa ya kwangu hiyo na niko likizo naweza kukuchangia kidogo urudi nyumbani.
Asante sana kwa moyo wako wa kutaka kumsaidia mtu ambae huna udugu wa damu nae.

Kiukweli sihitaji kupewa nauli tu, japo hiyo ndio main focus (kuondoka hapa kahama).

Nahitaji ajira tu ndugu yangu.

Kwanini ajira tu ? Kwa sababu dhamiri yangu hainiruhusu kumpa mwingine mzigo wangu mwenyewe.

Nahitaji vitu vingi: kiasi cha pesa (kidogo) cha kuanzia maisha tena pale mbeya, nahitaji kulipa deni la mwenye nyumba wangu maana nimemwambia anivumilie kuna hela ntapata, nimeshakaa mwezi mmoja na siku kadhaa hapa (bila kulipa).

Namna pekee ya kujinasua na kuondoka hapa ni ajira tu.

Asante tena kwa moyo wako.
 
Asante sana kwa moyo wako wa kutaka kumsaidia mtu ambae huna udugu wa damu nae.

Kiukweli sihitaji kupewa nauli tu, japo hiyo ndio main focus (kuondoka hapa kahama).

Nahitaji ajira tu ndugu yangu.

Kwanini ajira tu ? Kwa sababu dhamiri yangu hainiruhusu kumpa mwingine mzigo wangu mwenyewe.

Nahitaji vitu vingi: kiasi cha pesa (kidogo) cha kuanzia maisha tena pale mbeya, nahitaji kulipa deni la mwenye nyumba wangu maana nimemwambia anivumilie kuna hela ntapata, nimeshakaa mwezi mmoja na siku kadhaa hapa (bila kulipa).

Namna pekee ya kujinasua na kuondoka hapa ni ajira tu.

Asante tena kwa moyo wako.
Asante sana kwa moyo wako wa kutaka kumsaidia mtu ambae huna udugu wa damu nae.

Kiukweli sihitaji kupewa nauli tu, japo hiyo ndio main focus (kuondoka hapa kahama).

Nahitaji ajira tu ndugu yangu.

Kwanini ajira tu ? Kwa sababu dhamiri yangu hainiruhusu kumpa mwingine mzigo wangu mwenyewe.

Nahitaji vitu vingi: kiasi cha pesa (kidogo) cha kuanzia maisha tena pale mbeya, nahitaji kulipa deni la mwenye nyumba wangu maana nimemwambia anivumilie kuna hela ntapata, nimeshakaa mwezi mmoja na siku kadhaa hapa (bila kulipa).

Namna pekee ya kujinasua na kuondoka hapa ni ajira tu.

Asante tena kwa moyo wako.
Pamoja mkuu.
 
Nisaidie nipate hata kazi moja (yoyote ile) basi ndugu yangu si unajua tena sisi sio wazawa hivyo hatuna connection
Hapo mtaa wa market square na kariakoo kwenye maduka ya jumla huwa wanatafuta wasaidizi wa kuhudumia wateja, unaweza kwenda kujaribu bahati yako.
 
Back
Top Bottom