Natafuta kazi katika fani ya Kilimo

Natafuta kazi katika fani ya Kilimo

kipara01

Member
Joined
May 18, 2023
Posts
29
Reaction score
44
Habari za wakati Wana JF, mimi ni muhitimu wa SUA katika FANI ya horticulture nipo natafuta nafasi ya kazi KATIKA FANI husika(kilimo) naishi mkoa wa songwe ila nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote Tanzania

Natanguliza shilukrani
Napatikana kupitia email yangu: yitzhakedward@gmail.com
 
Back
Top Bottom