Natafuta kazi, kibarua, msaada

Natafuta kazi, kibarua, msaada

Joined
Feb 11, 2023
Posts
14
Reaction score
15
Amani iwe nasi Watu wa Mungu.

Nimerudi Tena Ndugu yenu, Bado sijabahatika kupata KAZI/kibarua.

Nimeandamwa na madeni ya Kodi, service charges na madeni mengi ninapoishi.

Naomba mwenye kunisaidia kibarua hata saidia fundi, nitashukuru sana.

Naishi Dar es salaam, Elimu kidato cha 6.

Mbarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom