Natafuta kazi kwenye supermarket, duka la nguo, vipodozi, usafi wa maofisini

Natafuta kazi kwenye supermarket, duka la nguo, vipodozi, usafi wa maofisini

Sabryna

New Member
Joined
Jul 24, 2020
Posts
1
Reaction score
1
Naitwa Sabrina

Nina miaka 22,

Naishi Dar, Ukonga.

Elimu yangu kidato cha 4

Naongea English na Kiswahili,

Natafuta kazi ya duka la nguo, vipodozi, supermarket au usafi wa maofisini.
 
Naitwa Sabrina

Nina miaka 22,

Naishi Dar, Ukonga.

Elimu yangu kidato cha 4

Naongea English na Kiswahili,

Natafuta kazi ya duka la nguo, vipodozi, supermarket au usafi wa maofisini.
Mimi ni kijana wa miaka 25 Natafuta kazi ya IT nina uwezo mkubwa katika maswala y a DATABASE, NETWORKING NA WEB DESIGNING. Natanguliza shukrani Namba yangu ya simu
Tunahitaji mfanyakazi na ofisi yetu ipo Moshi. Kama upo tayari tuwasiliane 0717157640
 
Mungu atusaidie kwakweli na mimi nahitaji kama hvo
 
Kuna kazi ya kupikia wanafnzi na usafi wa ofisini
wasilina nasi 0717157640
 
Back
Top Bottom