Kazi utapata fanya sana muombe sana Mungu na wakati huohuo endelea kuwa mtafiti wa taarifa za nafasi zinazotangazwa na we tuma popote pale kwani utakuwa unaendelea kupata uzpefu wa interview usiwe unavunjika moyo pale unapokosa.hata mimi natafuta kazi lakini bado sijakata tammaa na katika maisha yangu huwa siamini kwamba nikisoma nitakosa kazi ,isipokuwa muda wa kupata kazi unaweza ukachelewa ila lazima utapata tu kaka .Mungu akutangulie na usimtegemee mwanadamu kamwe maana hubadilika ila mUnug habadiliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.