King David133
New Member
- Jun 2, 2021
- 4
- 3
Habari za humu wana JamiiForum,
Naitwa David (23), mkazi wa Arusha kwasasa Dar es salaam, kimara
Nimhitimu wa diploma kwenye biashara na utawala.
Dhumuni la kuandaa post hii kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu nahitaji kazi yoyote halali (kuuza duka la nguo, vyombo, vifaa vya ujenzi, Dawa, saloon, stationary, hotel, nk)
Nina ujuzi wa computer. Pia nina fani mbali mbali kama vile photographer, logo maker , posters creation
Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote.
Nipo tayari kuwasikiliza,
Asanteni sana.
0622361889
Naitwa David (23), mkazi wa Arusha kwasasa Dar es salaam, kimara
Nimhitimu wa diploma kwenye biashara na utawala.
Dhumuni la kuandaa post hii kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu nahitaji kazi yoyote halali (kuuza duka la nguo, vyombo, vifaa vya ujenzi, Dawa, saloon, stationary, hotel, nk)
Nina ujuzi wa computer. Pia nina fani mbali mbali kama vile photographer, logo maker , posters creation
Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote.
Nipo tayari kuwasikiliza,
Asanteni sana.
0622361889