dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
umemaliza diploma mwaka gani,Samahani kwa kuingilia uzi wa bwana Mkubwa ila kama utawiwa kunisaidia pia namm ntashukuru mimi pia natafuta ajira walau nipate chochote Nina diploma ya umeme nimemaliza muda kidgo.
Nimemaliza 2016 mkuu ndio Nina experience mkuuumemaliza diploma mwaka gani,
una experience na umeme wa viwandani (machines/control systems)?
Asante bro Inshaallah mwenyezi Mungu atafungua njia kwetu sote soon .Naam kaka bila samahan....Wote ni Wahanga hakuna tatizo!
Ionisation of surrounding air which produces flashing glows with hissing sound.Hebu eleza kwa kifupi corona effect inatokea vipi kwenye umeme? kwa kujibu hilo swali nitajua kweli umeiva kwenye tasnia hiyo.
Kwa sisi Professional Technicians (Wajumbe) huwa hatupaiti kwa jina baya eneo tulilopitia. Hata kama hawajakulipa, usingewataja kwa jina. Maana kukaa kwao kwa miezi minne imekuongezea kitu cha kuandika kwenye CV. Jifunze hili, that's unprofessional.Mkuu; Nimeandika In short na km ukisoma vzr hayo uliyoyauliza yapo kasoro uzoefu: okay
Nimemaliza Mbeya University of Science and Technology course ni bachelor degree of Electrical and electronics Engineering mwaka 2019;
Ninauzoefu wa field TANESCO na viwandani na Wiring za majumbani pia nafaham; Pia baada ya kumaliza nimefanya kazi kwa kujitolea kwenye kiwanda Cha MW rice Miller hapa Morogoro kwa muda wa miez 4,,,,nimeacha hapo kutokana na ugumu wa mazingira ya kazi walikuwa hawanilipi hata Mia,,,,kwasasa nipo mtaani Sina kazi yyt natafuta,,
Shukran kwa kunifahamisha kitu kipya sikuwa najua b4...Pia naweka masahihisho hapo kutokana na uelewa uliojitokeza kwa watu ambao sikutarajia "Ni hivi tangu mwanzo naomba kufanya hapo walisema ruksa lkn hawatonilipa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao,,,Mimi nilikubali kwa lengo la kupata uzoefu pamoja na kutafuta connection kwahy nilifanya kadri ya uwezo wangu nikaishia Hy miezi minne ingawa nilikuwa nataman kuendelea km wangenilipa hata angalau 7K na kuendea per day ningefanya kwa mda mrefu tuu... Lakini haikuweza kuwa hivo.Kwa sisi Professional Technicians (Wajumbe) huwa hatupaiti kwa jina baya eneo tulilopitia. Hata kama hawajakulipa, usingewataja kwa jina. Maana kukaa kwao kwa miezi minne imekuongezea kitu cha kuandika kwenye CV. Jifunze hili, that's unprofessional.
Pia pole kwa changamoto za kutafuta kazi. Endelea kufuatilia Jukwaa hili kwa michongo mingi hutokea hapa. Nilipata kazi miaka 7 iliyopita kupitia Jukwaa hili.
Mjumbe Daraja Makofia.
Pamoja MJUMBE kweli hili jukwaa ni Msaada sanaa kwetu soteKwa sisi Professional Technicians (Wajumbe) huwa hatupaiti kwa jina baya eneo tulilopitia. Hata kama hawajakulipa, usingewataja kwa jina. Maana kukaa kwao kwa miezi minne imekuongezea kitu cha kuandika kwenye CV. Jifunze hili, that's unprofessional.
Pia pole kwa changamoto za kutafuta kazi. Endelea kufuatilia Jukwaa hili kwa michongo mingi hutokea hapa. Nilipata kazi miaka 7 iliyopita kupitia Jukwaa hili.
Mjumbe Daraja Makofia.
Electrical technician anahitajika Mamlaka ya maji Korogwe - Tanga, ngoja nicheki tangazo lao kama bado muda wake haujaisha halafu nikutumie.Samahani kwa kuingilia uzi wa bwana Mkubwa ila kama utawiwa kunisaidia pia namm ntashukuru mimi pia natafuta ajira walau nipate chochote Nina diploma ya umeme nimemaliza muda kidgo.
Nitashukuru sana boss naomba nitumieElectrical technician anahitajika Mamlaka ya maji Korogwe - Tanga, ngoja nicheki tangazo lao kama bado muda wake haujaisha halafu nikutumie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujitolea Ni ubwege, no freeJaribu pia kucheck Kama Kuna mradi wowote ule ndani au nje ya halmashauri uliyopo.
Na uwe mtu wa kujichanganya/kujiattach na kua tayari kujitolea upatapo fursa ya kushiriki mradi/kazi yoyote inayoendana na professional yako.
NB: kua na ujasiri wa kuonana na hao mameneja wa miradi na kubadilishana nao mawazo kwa lengo la kupata nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata Google mkuuIonisation of surrounding air which produces flashing glows with hissing sound.
Back to you:-
What is stroboscopic effect?
Sijafanikiwa kupata tangazo kwa haraka, nimeomba mtu wa karibu anitafutie then anitumie.Nitashukuru sana boss naomba nitumie
Dah...akimaliza Corona effect? aelezee pia skin effect [emoji1787][emoji1787]Hebu eleza kwa kifupi corona effect inatokea vipi kwenye umeme? kwa kujibu hilo swali nitajua kweli umeiva kwenye tasnia hiyo.
Bless sana bro hata ikitokea pia sijafanikisha lkn I can see your spirit kwa kujaribu. Endelea na moyo huo huo mkuu Mungu akubariki.Sijafanikiwa kupata tangazo kwa haraka, nimeomba mtu wa karibu anitafutie then anitumie.
Ili tusichelewe naomba nikutumie namba PM ili uwasiliane na huyo mtu moja kwa moja kwakuwa mm nakuwa bize sana.
Naamini utafanikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app