EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Nilikosomea na kufanya internship ndio utaratibu wao huo. Industrial field training wanaita pia, Ni ndani ya miaka ya masomo na baada inakuwaIntern 1 month? Uko serious?
Kwann uliacha hapo?
Swali zuri kutoka kwa mdada mzuri Cocy [emoji4]Intern 1 month? Uko serious?
Kwann uliacha hapo?
Sasa hiyo sio intern, ni Field. Nweiii kila LA kheri!!Nilikosomea na kufanya internship ndio utaratibu wao huo. Industrial field training wanaita pia, Ni ndani ya miaka ya masomo na baada inakuwa
Ahsanteee!! [emoji8][emoji8]Swali zuri kutoka kwa mdada mzuri Cocy [emoji4]
Duh pole sanaKuwa mvumilivu utapata tu. Mwenzio ni mwaka wa 4 huu bado nipo mtaani
OkSasa hiyo sio intern, ni Field. Nweiii kila LA kheri!!
Kuwa mvumilivu.
[emoji3059]🫶Ahsanteee!! [emoji8][emoji8]
Kozi gan umesoma?Kuwa mvumilivu utapata tu. Mwenzio ni mwaka wa 4 huu bado nipo mtaani
[emoji120][emoji120][emoji3059]🫶
Ni kozi gani ?Kuwa mvumilivu utapata tu. Mwenzio ni mwaka wa 4 huu bado nipo mtaani
Ngoja tusubiri mkuu.Ipo siku utapata mkuu..