Wakuu naombeni mwenye link yoyote ya kunisaidia kupata kazi anisaidie.
Nina bachelor ya Hr 2014 na masters ya hr 2022, nimekomaa kusaka ajira mara kadhaa bila kufanikiwa, nilipomaliza chuo nilipiga JKT miaka 3 Magu akatumwaga mtaani bila ajira, nikakimbizana huku na huko nikaangukia kwenye biashara ya kuuza pembejeo za kilimo kanda ya ziwa kampuni ikayumba nikarudi Arusha.
Huku Arusha nikaingia kwenye mambo ya utalii kufanya town tours na trips ndogo ndogo japo mara moja moja nafanya safaris nikiotea magroup ya wageni naandaa safari nzima na naenda nao, nika rent nyumba nikafungua hostel nikawa napata wageni kadhaa na host lakini kwa hela kidogo sana na wengi ni volunteers ila nilikuja kushindwa kwa sababu ya process za registration na kodi na gharama zingine nyingi.
Sina connection ya watu wazito nimejaribu ku share huku maana naona stress inaweza kunipeleka pabaya bora nishauriwe mawili matatu na wadau humu.
Nina bachelor ya Hr 2014 na masters ya hr 2022, nimekomaa kusaka ajira mara kadhaa bila kufanikiwa, nilipomaliza chuo nilipiga JKT miaka 3 Magu akatumwaga mtaani bila ajira, nikakimbizana huku na huko nikaangukia kwenye biashara ya kuuza pembejeo za kilimo kanda ya ziwa kampuni ikayumba nikarudi Arusha.
Huku Arusha nikaingia kwenye mambo ya utalii kufanya town tours na trips ndogo ndogo japo mara moja moja nafanya safaris nikiotea magroup ya wageni naandaa safari nzima na naenda nao, nika rent nyumba nikafungua hostel nikawa napata wageni kadhaa na host lakini kwa hela kidogo sana na wengi ni volunteers ila nilikuja kushindwa kwa sababu ya process za registration na kodi na gharama zingine nyingi.
Sina connection ya watu wazito nimejaribu ku share huku maana naona stress inaweza kunipeleka pabaya bora nishauriwe mawili matatu na wadau humu.