- Thread starter
- #21
Bach ilikua Tumaini university na master’s ni Uhasibu arusha.Bachelor ulisoma Chuo gani?Masters ulisoma Chuo gani?na inakuaje ujitolee JKT miaka mitatu kisha ushindwe kuingia kwenye Vyombo vya Ulinzi na Usalama kama Polisi,TAKUKURU,Uhamiaji,Zimamoto na JWTZ?
Magu alituweka kwa ahadi kibao za ajira baadae akatumwaga kama unakumbuka alisema amesha apisha ma ofisa wa kutosha na hana mpango wa ajira tena, baada ya mwezi tukatolewa op magu wote japo wengine wenye mibuyu mizito walibaki na silaumu kwa sababu sikua na connection hvyo haikua riziki yangu