Bach ilikua Tumaini university na master’s ni Uhasibu arusha.Bachelor ulisoma Chuo gani?Masters ulisoma Chuo gani?na inakuaje ujitolee JKT miaka mitatu kisha ushindwe kuingia kwenye Vyombo vya Ulinzi na Usalama kama Polisi,TAKUKURU,Uhamiaji,Zimamoto na JWTZ?
daaaaah inategemea na ni nini unataka kwa sababu kuna mengine bora kukosa kaziMm ukinipoza nakuungisha
hakika kakaNever give-up mkuu. Ipo siku utapata mchongo wa maana.
sijakata tamaa kabisa nimekutana na mdau mmoja tunaanza tena kusogea mbele, bado nina imaniYani ungeendelea kukomaa na sector ya utalii ingekutoa maana tayali una experience nayo alafu kwann tena ukaenda kusoma masters ya human resource wakati una degree yake ambayo haijakupa impact yoyote mtaani?
Nenda baa ya jirani na unapokaa ukajitolee (volunteer)Wakuu naombeni mwenye link yoyote ya kunisaidia kupata kazi anisaidie.
Nina bachelor ya Hr 2014 na masters ya hr 2022, nimekomaa kusaka ajira mara kadhaa bila kufanikiwa, nilipomaliza chuo nilipiga JKT miaka 3 Magu akatumwaga mtaani bila ajira, nikakimbizana huku na huko nikaangukia kwenye biashara ya kuuza pembejeo za kilimo kanda ya ziwa kampuni ikayumba nikarudi Arusha.
Huku Arusha nikaingia kwenye mambo ya utalii kufanya town tours na trips ndogo ndogo japo mara moja moja nafanya safaris nikiotea magroup ya wageni naandaa safari nzima na naenda nao, nika rent nyumba nikafungua hostel nikawa napata wageni kadhaa na host lakini kwa hela kidogo sana na wengi ni volunteers ila nilikuja kushindwa kwa sababu ya process za registration na kodi na gharama zingine nyingi.
Sina connection ya watu wazito nimejaribu ku share huku maana naona stress inaweza kunipeleka pabaya bora nishauriwe mawili matatu na wadau humu.
nilifanya sana hizo na ndio nilipata ka mtaji wa kufungua hostel, ila juzi kati nimekutana na neema kidogo naona hali si mbaya.Pole sana mkuu. Kwanini usiendelee na utalii? Uzoefu unao na wateja unapata endelea nao mdogo mdogo kama vibali na taratibu nyingine ni changamoto kwa sasa fanya kuwalink wateja wako na makampuni, baadhi hutoa pesa kiasi fulani kwa wanaowaletea watalii.
nilishafanya kazi kwenye restaurant kadhaa na bar kadhaa, nimeshapika sana pizza na bbq mkuu, hata kitimoto niko fit lakini kuna kukata tamaa flani iliniingia na kukatishwa tamaa piaNenda baa ya jirani na unapokaa ukajitolee (volunteer)
Binafsi nakushauri ujitafte kwa kazi zako Binafsi kama mtaji unao angalia fursa mikoa mingine, Hususani mkoa wa mtwara kwa sasa naona kuna fursa huko lakini pia kuna mji unaitwa katoro kwa Tanzania kama huwezi pambana Dsm hizo sehemu mbili nadhani ukikomaa unatoka..Wakuu naombeni mwenye link yoyote ya kunisaidia kupata kazi anisaidie.
Nina bachelor ya Hr 2014 na masters ya hr 2022, nimekomaa kusaka ajira mara kadhaa bila kufanikiwa, nilipomaliza chuo nilipiga JKT miaka 3 Magu akatumwaga mtaani bila ajira, nikakimbizana huku na huko nikaangukia kwenye biashara ya kuuza pembejeo za kilimo kanda ya ziwa kampuni ikayumba nikarudi Arusha.
Huku Arusha nikaingia kwenye mambo ya utalii kufanya town tours na trips ndogo ndogo japo mara moja moja nafanya safaris nikiotea magroup ya wageni naandaa safari nzima na naenda nao, nika rent nyumba nikafungua hostel nikawa napata wageni kadhaa na host lakini kwa hela kidogo sana na wengi ni volunteers ila nilikuja kushindwa kwa sababu ya process za registration na kodi na gharama zingine nyingi.
Sina connection ya watu wazito nimejaribu ku share huku maana naona stress inaweza kunipeleka pabaya bora nishauriwe mawili matatu na wadau humu.
Sasa Mkuu kama umepita kote huko bado unatafutwa ajira? Anza na jiko la kitimoto. mhudumu weka lishangazinilishafanya kazi kwenye restaurant kadhaa na bar kadhaa, nimeshapika sana pizza na bbq mkuu, hata kitimoto niko fit lakini kuna kukata tamaa flani iliniingia na kukatishwa tamaa pia
Kiti moto kinafaida kubwaSasa Mkuu kama umepita kote huko bado unatafutwa ajira? Anza na huko la kitimoto
faida ni kufungua lako mwenyewe, napambana ipo siku ntaweka goli, bro sasa hv nina pumzi kidogo ila siku nimepost hii kitu kaka huwez amini nilikua kwenye hali mbaya sana, Nimeona umuhimu wa ku share jambo na watu hata ushauri tu huwa unasaidia sana na kutia moyo mnoSasa Mkuu kama umepita kote huko bado unatafutwa ajira? Anza na huko la kitimoto
Pesa ndio chanzo cha hayo yote inahuzunisha sana.nilifanya sana hizo na ndio nilipata ka mtaji wa kufungua hostel, ila juzi kati nimekutana na neema kidogo naona hali si mbaya.
Tatizo ni kuzungukana, biashara za partnership huku kwetu ni changamoto sana, ukim link mtu na mgeni ndio mwisho wa ww kuwa na uhusinao na huyo mgeni kwa maneno atakayo jazwa
kwel bro, pesa ni mambo mengi sanaPesa ndio chanzo cha hayo yote inahuzunisha sana.
Kwenye maslahi ndio mwanzo wa kujengeana chuki.kwel bro, pesa ni mambo mengi sana
1. Mkuu usituone tunaendesha mandinga tumeyapitia hayo maisha.faida ni kufungua lako mwenyewe, napambana ipo siku ntaweka goli, bro sasa hv nina pumzi kidogo ila siku nimepost hii kitu kaka huwez amini nilikua kwenye hali mbaya sana, Nimeona umuhimu wa ku share jambo na watu hata ushauri tu huwa unasaidia sana na kutia moyo mno
Nikupambana.kwann ulisepa na del?1. Mkuu usituone tunaendesha mandinga tumeyapitia hayo maisha.
2. Niliwahi kwenda kuuza ice cream uwanja wa Taifa siku za mechi kama mwezi hivi baadae nikasepa na ice cream pamoja na lile container 'deli' la ice cream tajiri hakuniona tena kmmk
Interesting...Nikupambana.kwann ulisepa na del?