salimu alute
Member
- Jun 9, 2019
- 28
- 30
Unaishi wapi?Natafuta kazi, nina diploma ya uandishi wa habari na utangazaji. Pia nipo vizuri kwenye camera na video editing.
Please jamani connect.
Nipo moroUnaishi wapi?
No ni kumchek nnibsaNinayo nafasi ila siwezi kuanika mamba humu
Hebu cheki ajira mpya za polisi, kada Yako imetajwa.Natafuta kazi, nina diploma ya uandishi wa habari na utangazaji. Pia nipo vizuri kwenye camera na video editing.
Please jamani connect.
Mtandao unasumbua sn mzeeHebu cheki ajira mpya za polisi, kada Yako imetajwa.
Mzee SISI ni wafanya kz wenye dp"Diplom"??? hapana kwakweli utaharibu kazi Mkuu samahani lakini.
Nimekupata Chief. Pia nakuombea upate kazi.Mzee SISI ni wafanya kz wenye dp