Peter Acoustic
Member
- May 20, 2020
- 6
- 2
Andika Proposal yako nzuri kisha peleka katika Mabenki ili uombe Mkopo uanzishe Chuo chako ujilipe na uwalipe na Wao.Nmemaliza chuo tangu 2020
Nina diploma ya Music production.
Ni kijana wa miaka 23
Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri kwa watu wenye interest ya Kujifunza.
Naweza kufundisha Watoto kwa wenye uhitaji wa kujifunza Muziki
Kwaiyo Ndugu zangu wa JF kam kuna mtu bend au kanisa even studio inatafuta Mtu wa Usimamizi wa maswala ya Music Anaweza kunicheki natanguliza Shukrani zanguβπππ
0688136549
Dar es salaam
Mikopo ingekua inatolewa kirahisi hivi ingekua raha sana.Andika Proposal yako nzuri kisha peleka katika Mabenki ili uombe Mkopo uanzishe Chuo chako ujilipe na uwalipe na Wao.
Nmemaliza chuo tangu 2020
Nina diploma ya Music production.
Ni kijana wa miaka 23
Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri kwa watu wenye interest ya Kujifunza.
Naweza kufundisha Watoto kwa wenye uhitaji wa kujifunza Muziki
Kwaiyo Ndugu zangu wa JF kam kuna mtu bend au kanisa even studio inatafuta Mtu wa Usimamizi wa maswala ya Music Anaweza kunicheki natanguliza Shukrani zangu[emoji110][emoji120][emoji120][emoji120]
0688136549
Dar es salaam
Nenda Congo ( DRC)DRC KUNA nini
Sawa mkuuTanzania hii unasomea mziki ? Nafuu hata na designer inamaana hukuona hata ualimu ?
Huyo Mrombo ana shobo sanaNenda kwa master J pale uombe kupata uzoefu baadaye ufungue studio yako
Nmemaliza chuo tangu 2020
Nina diploma ya Music production.
Ni kijana wa miaka 23
Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri kwa watu wenye interest ya Kujifunza.
Naweza kufundisha Watoto kwa wenye uhitaji wa kujifunza Muziki
Kwaiyo Ndugu zangu wa JF kam kuna mtu bend au kanisa even studio inatafuta Mtu wa Usimamizi wa maswala ya Music Anaweza kunicheki natanguliza Shukrani zangu[emoji110][emoji120][emoji120][emoji120]
0688136549
Dar es salaam