Habarini wakuu,
Elimu yangu ni form six
Jinsia ni ke
Nimejitokezak kwenu kutafuta kazi yoyote halali
Kazi yoyote halali naweza kufanya
Naombeni tu msaada wenu wakuu nipo Mwanza
Elimu yangu ni form six
Jinsia ni ke
Nimejitokezak kwenu kutafuta kazi yoyote halali
- Kufundisha(naweza kufundisha masomo yote except physics) kwa O-level
- Kufundisha primary /nursery
- Upishi pia naweza
- Kaunta
- Hata uhasibu naweza mahesabu
Kazi yoyote halali naweza kufanya
Naombeni tu msaada wenu wakuu nipo Mwanza