emanuelmaro
Member
- Sep 7, 2023
- 5
- 1
Kwa hii CV una kitu uta fika mbari.so una experience ya udaktari kwa miaka 7
Mwandishi kataka tujiongeze kasema ame ambatanisha Cv ili hali haja weka ..CV umeiona je?
Jamaa ni new member na hiyo nipost yake no 1.Mwandishi kataka tujiongeze kasema ame ambatanisha Cv ili hali haja weka ..
Mwandishi kataka tujiongeze kasema ame ambatanisha Cv ili hali haja weka ..
Habari za majukumu wakuu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ninaishi Dar es salaam, Ninawaomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata kazi nitashukiru sana, Nimeambatanisha CV yangu tafadhali nahitaji msaada wenu, Ahsante.
Wachek hawa jamaa wanataka marketing officer 0623533676Habari za majukumu wakuu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ninaishi Dar es salaam, Ninawaomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata kazi nitashukiru sana, Nimeambatanisha CV yangu tafadhali nahitaji msaada wenu, Ahsante.
Ahsante sana mkuu🙏Wachek hawa jamaa wanataka marketing officer 0623533676