Natafuta kazi nipo Musoma

Natafuta kazi nipo Musoma

Msumb

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2022
Posts
3,452
Reaction score
5,372
Habari wakuu kwema nyote, natumaini hamjambo wote,

Sawa baada ya salamu naomba nije kwenye jambo langu hili, mimi ni kijana jinsia me miaka 27 nipo musoma, natafuta kazi yoyote iwe na angalau narudi na chochote kitu jioni,

Nipo tu sina mishe yoyote wala kazi, naomba tafadhali kama itawezekana, 🙏🙏 sina maneno mengi ni hayo tu,

Asanteni
 
Musoma huko ukiwa mjanja ni heri uondoke tu vijana wengi huko kazi yao kubwa ni bodaboda. Piga boda mzee au hama mkoa
 
Back
Top Bottom