Maria Mahega
New Member
- Feb 28, 2022
- 2
- 4
Mimi ni binti wa miaka 22 natafuta kazi part time job, ambayo nitaifanya baada ya kumaliza vipindi vyangu vya chuo na ambayo nitaifanya weekend, Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam na chuo changu Kiko dar es salaam posta.
Tafadhali wanajamiiforums nisaidieni
Tafadhali wanajamiiforums nisaidieni