Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

Tommy 911

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
600
Reaction score
510
Habarini Wana JF nimehitimu mwaka huu Bachelor of Science in Chemistry lakini mpaka sas sijapata ata sehemu ya kujishikiza hata part time licha ya kuaapply internship sehemu mbalimbali.

Natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu. kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏

Soma Pia: Irect Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial Bank August, 2024

Update:

Nashukuru sana wadau ambao mliniombea, nimepata kazi nzuri tu ya taaluma yangu
 
Mtaaalam, kunywa mtori nyama ziko chini, mimi nilisoma medicine, nkikwambia nnachofabya sasa hv utabaki mdomo wazi lakn i wouldnt trade this for anythng.
Weka aibu pembeni, hyo laki 3 ukiwa smart n mtaji tosha, in 5 yrs utakua mtu tofaut kabisa
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Wewe bado kabisa hujakaa mtaani
Hustahili kabisa hata kulaumu kabisa shukuru Mungu
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo [emoji120]
Hata matokeo ya UE hayajatoka tayari ushachanganyikiwa na kitaa.

Walio mtaani tangu 2015 wasemeje.

Karibu sana mtaani
 
Back
Top Bottom