Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Umehitimu mwaka huu alafu unalialia.
Tulia kwanza uone life lilivo, wengine tushasahau kwamba kuna kuajiriwa.🤣🤣
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Nenda shule kubwa ya private kaombe kujitolea wakati unasubiri application zi tick!!piga mzigo wa ukweli ,Vaa smart,pendeza!wapende wanafunzi uwe nao karibu !miezi miwili au mitatu utapata ajira hapo hapo!!

Wakenya wanatupiga gap eneo hili!
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Mhitimu unaandika 'ata' badala ya 'hata' ?
 
Nenda shule kubwa ya private kaombe kujitolea wakati unasubiri application zi tick!!piga mzigo wa ukweli ,Vaa smart,pendeza!wapende wanafunzi uwe nao karibu !miezi miwili au mitatu utapata ajira hapo hapo!!

Wakenya wanatupiga gap eneo hili!
Akipendeza sana akapendwa na pisi ya mkurugenzi, atafukuzwa kazi na pesa hana kiongozi 😂.
 
Habarini Wana jf..... nimehitimu mwaka huu bachelor of science in chemistry lkn mpk sas sijapat ata sehem ya kujishikiza ata part time licha ya kuaapply internship sehem mbalimbali. natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu.
kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo lolote la biashara inayolip ata kam faida ni ndogo 🙏
Mkuu mbona mapema sana umekata tamaa?!
 
Back
Top Bottom