Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

Unajua mnamlaumu bure kijana
Elimu yetu ina andaa waajiwa na sio watu wa kujiajiri
Fikiria tangia darasa la kwanza unafundishwa kukariri tuuuu..... halafu leo unaambiwa ukafume vitambaa, sijui ukapike maandazi/chips, sijui ukarande mbao nk nk ni ngumu sana
 
Hili ndio tatizo la hii nchi. Haya ndio watu ambao wanapaswa kupewa kazi ata kabla ya kumaliza masomo maana ndio wanaotakiwa katika kuleta maendeleo. Pole sana mwanawane.
Ngoja nikupe bodaboda moja uwe unapiga mishe town
 
Inatakiwa hiyo laki 3 iishe kwanza ndo elimu ya mtaani ianze rasmi kuchukua nafasi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…